iqna

IQNA

Masafer Yatta
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mwanadiplomasia mwandamizi wa Umoja wa Ulaya ameelezea wasiwasi wake kuhusu uwezekano idadi kubwa ya Wapalestina kuhamishwa kwa nguvu kutoka eneo la mashambani katika Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475476    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/08